2 Wakorintho 12:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo nakubali kwa radhi udhaifu, dharau, taabu, udhalimu na mateso, kwa ajili ya Kristo; maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa na nguvu.

2 Wakorintho 12

2 Wakorintho 12:7-16