2 Samueli 18:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Yoabu akamwambia, “Leo, hutapeleka habari hizo. Unaweza kupeleka habari hizo siku nyingine. Lakini leo hutapeleka habari zozote kwa kuwa mwana wa mfalme amekufa.”

2 Samueli 18

2 Samueli 18:12-23