2 Samueli 18:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Ahimaasi mwana wa Sadoki, akasema, “Niruhusu nikimbie kumpelekea mfalme habari hizi kuwa Mwenyezi-Mungu amemkomboa katika nguvu za adui zake.”

2 Samueli 18

2 Samueli 18:13-23