Zek. 9:1 Swahili Union Version (SUV)

Ufunuo wa neno la BWANA, lililosemwa juu ya nchi ya Hadraki, na Dameski itakuwa mahali pake pa kustarehe; kwa maana jicho la mwanadamu na la kabila zote za Israeli linamwelekea BWANA;

Zek. 9

Zek. 9:1-9