Zek. 8:14 Swahili Union Version (SUV)

Maana BWANA wa majeshi asema hivi, Kama vile nilivyoazimia kuwatenda ninyi mabaya, baba zenu waliponikasirisha, asema BWANA wa majeshi, wala mimi sikujuta;

Zek. 8

Zek. 8:8-23