Zek. 4:13-14 Swahili Union Version (SUV)

13. Akanijibu, akasema, Hujui hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.

14. Ndipo akasema, Hivi ni hao wana wawili wa mafuta, wasimamao karibu na Bwana wa dunia yote.

Zek. 4