Zek. 4:12 Swahili Union Version (SUV)

Nami nikajibu mara ya pili, nikamwuliza, Ni nini haya matawi mawili ya mizeituni, ambayo kwa njia ya ile mifereji miwili ya dhahabu hutoa mafuta yao?

Zek. 4

Zek. 4:8-14