Zek. 3:9 Swahili Union Version (SUV)

Maana, litazame jiwe hili nililoliweka mbele ya Yoshua; katika jiwe moja yako macho saba; tazama, nitachora machoro yake, asema BWANA wa majeshi, nami nitauondoa uovu wa nchi ile katika siku moja.

Zek. 3

Zek. 3:6-10