Zek. 2:11 Swahili Union Version (SUV)

Na mataifa mengi watajiunga na BWANA katika siku ile, nao watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati yako, nawe utajua ya kuwa BWANA wa majeshi amenituma kwako.

Zek. 2

Zek. 2:8-13