Zek. 11:7 Swahili Union Version (SUV)

Basi nikalilisha kundi la machinjo, kweli kondoo waliokuwa wanyonge kabisa.Kisha nikajipatia fimbo mbili; nami nikaiita ya kwanza, Neema, na ya pili nikaiita, Vifungo; nikalilisha kundi lile.

Zek. 11

Zek. 11:3-14