Zek. 11:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ifungue milango yako, Ee Lebanoni,Ili moto uiteketeze mierezi yako.

2. Piga yowe, msunobari, maana mwerezi umeanguka,Kwa sababu miti iliyo mizuri imeharibika;Pigeni yowe, enyi mialoni ya Bashani,Kwa maana msitu wenye nguvu umeangamia.

Zek. 11