Zek. 1:11 Swahili Union Version (SUV)

Nao wakamjibu yule malaika wa BWANA aliyesimama kati ya mihadasi, wakasema, Tumekwenda huko na huko duniani, na tazama, dunia yote inatulia, nayo imestarehe.

Zek. 1

Zek. 1:9-17