Zab. 98:5-8 Swahili Union Version (SUV)

5. Mwimbieni BWANA zaburi kwa kinubi,Kwa kinubi na sauti ya zaburi.

6. Kwa panda na sauti ya baragumu.Shangilieni mbele za Mfalme, BWANA.

7. Bahari na ivume na vyote viijazavyo,Ulimwengu nao wanaokaa ndani yake.

8. Mito na ipige makofi,Milima na iimbe pamoja kwa furaha.

Zab. 98