Zab. 96:3-6 Swahili Union Version (SUV)

3. Wahubirini mataifa habari za utukufu wake,Na watu wote habari za maajabu yake.

4. Kwa kuwa BWANA ni mkuu mwenye kusifiwa sana.Na wa kuhofiwa kuliko miungu yote.

5. Maana miungu yote ya watu si kitu,Lakini BWANA ndiye aliyezifanya mbingu.

6. Heshima na adhama ziko mbele zake,Nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake.

Zab. 96