Zab. 94:9-12 Swahili Union Version (SUV)

9. Aliyelitia sikio mahali pake asisikie?Aliyelifanya jicho asione?

10. Awaadibuye mataifa asikemee?Amfundishaye mwanadamu asijue?

11. BWANA anajua mawazo ya mwanadamu,Ya kuwa ni ubatili.

12. Ee BWANA, heri mtu yule umwadibuye,Na kumfundisha kwa sheria yako;

Zab. 94