Zab. 94:11-13 Swahili Union Version (SUV)

11. BWANA anajua mawazo ya mwanadamu,Ya kuwa ni ubatili.

12. Ee BWANA, heri mtu yule umwadibuye,Na kumfundisha kwa sheria yako;

13. Upate kumstarehesha siku za mabaya,Hata asiye haki atakapochimbiwa shimo.

Zab. 94