Zab. 91:11-15 Swahili Union Version (SUV)

11. Kwa kuwa atakuagizia malaika zakeWakulinde katika njia zako zote.

12. Mikononi mwao watakuchukua,Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.

13. Utawakanyaga simba na nyoka,Mwana-simba na joka utawaseta kwa miguu.

14. Kwa kuwa amekaza kunipendaNitamwokoa; na kumweka palipo juu,Kwa kuwa amenijua Jina langu.

15. Ataniita nami nitamwitikia;Nitakuwa pamoja naye taabuni,Nitamwokoa na kumtukuza;

Zab. 91