10. Mabaya hayatakupata wewe,Wala tauni haitaikaribia hema yako.
11. Kwa kuwa atakuagizia malaika zakeWakulinde katika njia zako zote.
12. Mikononi mwao watakuchukua,Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
13. Utawakanyaga simba na nyoka,Mwana-simba na joka utawaseta kwa miguu.
14. Kwa kuwa amekaza kunipendaNitamwokoa; na kumweka palipo juu,Kwa kuwa amenijua Jina langu.
15. Ataniita nami nitamwitikia;Nitakuwa pamoja naye taabuni,Nitamwokoa na kumtukuza;