Zab. 90:7-9 Swahili Union Version (SUV)

7. Maana tumetoweshwa kwa hasira yako,Na kwa ghadhabu yako tumefadhaishwa.

8. Umeyaweka maovu yetu mbele zako,Siri zetu katika mwanga wa uso wako.

9. Maana siku zetu zote zimepita katika hasira yako,Tumetowesha miaka yetu kama kite.

Zab. 90