Zab. 90:13-16 Swahili Union Version (SUV)

13. Ee BWANA urudi, hata lini?Uwahurumie watumishi wako.

14. Utushibishe asubuhi kwa fadhili zako,Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote.

15. Utufurahishe kwa kadiri ya siku ulizotutesa,Kama miaka ile tuliyoona mabaya.

16. Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako,Na adhama yako kwa watoto wao.

Zab. 90