11. Ni nani aujuaye uweza wa hasira yako?Na ghadhabu yako kama ipasavyo kicho chako?
12. Basi, utujulishe kuzihesabu siku zetu,Tujipatie moyo wa hekima.
13. Ee BWANA urudi, hata lini?Uwahurumie watumishi wako.
14. Utushibishe asubuhi kwa fadhili zako,Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote.