Zab. 90:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Wewe, Bwana, umekuwa makao yetu,Kizazi baada ya kizazi.

2. Kabla haijazaliwa milima, wala hujaiumba dunia,Na tangu milele hata milele ndiwe Mungu.

3. Wamrudisha mtu mavumbini,usemapo, Rudini, enyi wanadamu.

Zab. 90