41. Wote wapitao njiani wanateka mali zake;Amekuwa laumu kwa jirani zake;
42. Umeutukuza mkono wa kuume wa watesi wake;Umewafurahisha wote wanaomchukia.
43. Pia umeurudisha nyuma ukali wa upanga wake;Wala hukumsimamisha vitani.
44. Umeikomesha fahari yake;Kiti chake cha enzi umekitupa chini.