Zab. 89:36-38 Swahili Union Version (SUV)

36. Wazao wake watadumu milele,Na kiti chake kitakuwa kama jua mbele zangu.

37. Kitathibitika milele kama mwezi;Shahidi aliye mbinguni mwaminifu.

38. Walakini Wewe umemtupa na kumkataa,Umemghadhibikia masihi wako.

Zab. 89