Zab. 89:34-37 Swahili Union Version (SUV)

34. Mimi sitalihalifu agano langu,Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.

35. Neno moja nimeliapa kwa utakatifu wangu,Hakika sitamwambia Daudi uongo,

36. Wazao wake watadumu milele,Na kiti chake kitakuwa kama jua mbele zangu.

37. Kitathibitika milele kama mwezi;Shahidi aliye mbinguni mwaminifu.

Zab. 89