Zab. 86:15-16 Swahili Union Version (SUV)

15. Lakini Wewe, Bwana,U Mungu wa rehema na neema,Mvumilivu, mwingi wa fadhili na kweli.

16. Unielekee na kunifadhili mimi;Mpe mtumishi wako nguvu zako,Umwokoe mwana wa mjakazi wako.

Zab. 86