Zab. 81:14-15 Swahili Union Version (SUV)

14. Ningewadhili adui zao kwa upesi,Na juu ya watesi wao ningegeuza mkono wangu;

15. Wamchukiao BWANA wangenyenyekea mbele zake,Bali wakati wao ungedumu milele.

Zab. 81