Zab. 74:21-22 Swahili Union Version (SUV)

21. Aliyeonewa asirejee ametiwa haya,Mnyonge na mhitaji na walisifu jina lako.

22. Ee Mungu, usimame, ujitetee mwenyewe,Ukumbuke unavyotukanwa na mpumbavu mchana kutwa.

Zab. 74