Zab. 74:17-20 Swahili Union Version (SUV)

17. Wewe uliiweka mipaka yote ya dunia,Kaskazi na kusi Wewe ulizitengeneza.

18. Ee BWANA, uyakumbuke hayo, adui amelaumu,Na watu wapumbavu wamelidharau jina lako.

19. Usimpe mnyama mkali nafsi ya hua wako;Usiusahau milele uhai wa watu wako walioonewa.

20. Ulitafakari agano;Maana mahali penye giza katika nchiPamejaa makao ya ukatili.

Zab. 74