Zab. 74:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee Mungu, mbona umetutupa milele?Kwa nini hasira yako inatoka moshiJuu ya kondoo wa malisho yako?

2. Ulikumbuke kusanyiko lako,Ulilolinunua zamani.Ulilolikomboa liwe kabila ya urithi wako,Mlima Sayuni ulioufanya maskani yako.

3. Upainulie miguu yako palipoharibika milele;Adui ameufanya kila ubaya katika patakatifu.

Zab. 74