Zab. 72:18-20 Swahili Union Version (SUV)

18. Na ahimidiwe BWANA, Mungu, Mungu wa Israeli,Atendaye miujiza Yeye peke yake;

19. Jina lake tukufu na lihimidiwe milele;Dunia yote na ijae utukufu wake. Amina na Amina.

20. Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamekwisha.

Zab. 72