Zab. 72:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,Na mwana wa mfalme haki yako.

2. Atawaamua watu wako kwa haki,Na watu wako walioonewa kwa hukumu.

3. Milima itawazalia watu amani,Na vilima navyo kwa haki.

Zab. 72