Zab. 69:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee Mungu, uniokoe,Maana maji yamefika mpaka nafsini mwangu.

2. Ninazama katika matope mengi,Pasipowezekana kusimama.Nimefika penye maji ya vilindi,Mkondo wa maji unanigharikisha.

Zab. 69