22. Bwana alisema, Kutoka Bashani nitawarudisha,Nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari;
23. Uuchovye mguu wako katika damu ya adui zako,Na ulimi wa mbwa zako upate sehemu yake.
24. Ee Mungu, wameiona miendo yako;Miendo ya Mungu wangu, Mfalme wangu, katika patakatifu
25. Waimbaji hutangulia, nyuma yao wapigao vinanda,Kati ya wanawali wapiga matari.