Zab. 66:4-8 Swahili Union Version (SUV)

4. Nchi yote itakusujudia na kukuimbia,Naam, italiimbia jina lako.

5. Njoni yatazameni matendo ya Mungu;Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu;

6. Aligeuza bahari ikawa nchi kavu;Katika mto walivuka kwa miguu;Huko ndiko mlikomfurahia.

7. Atawala kwa uweza wake milele;Macho yake yanaangalia mataifa;Waasio wasijitukuze nafsi zao.

8. Enyi mataifa, mtukuzeni Mungu wetu,Itangazeni sauti ya sifa zake;

Zab. 66