Zab. 64:8-9 Swahili Union Version (SUV)

8. Ndivyo watakavyokwazwa,Ulimi wao wenyewe ukishindana nao.Wote wawaonao watatikisa kichwa.

9. Na watu wote wataogopa,Wataitangaza kazi ya Mungu,Na kuyafahamu matendo yake.

Zab. 64