8. Kama konokono ayeyukaye na kutoweka,Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua,
9. Kabla ya masufuria yenu kupata moto wa miiba,Ataipeperusha kama chamchela,Iliyo mibichi na iliyo moto.
10. Mwenye haki atafurahi akionapo kisasi;Ataiosha miguu yake katika damu ya wasio haki.