Zab. 55:12-15 Swahili Union Version (SUV)

12. Kwa maana aliyetukana si adui;Kama ndivyo, ningevumilia.Aliyejitukuza juu yangu siye anichukiaye;Kama ndivyo, ningejificha asinione.

13. Bali ni wewe, mtu mwenzangu,Rafiki yangu, niliyejuana nawe sana.

14. Tulipeana shauri tamu; na kutembeaNyumbani mwa Mungu pamoja na mkutano.

15. Mauti na iwapate kwa ghafula,Na washuke kuzimu wangali hai,Maana uovu u makaoni mwao na katikati yao.

Zab. 55