Zab. 52:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Kwa nini kujisifia uovu, Ewe jabari?Wema wa Mungu upo sikuzote.

2. Ulimi wako watunga madhara,Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila

3. Umependa mabaya kuliko mema,Na uongo kuliko kusema kweli.

Zab. 52