Zab. 51:11-14 Swahili Union Version (SUV)

11. Usinitenge na uso wako,Wala roho yako mtakatifu usiniondolee.

12. Unirudishie furaha ya wokovu wako;Unitegemeze kwa roho ya wepesi.

13. Nitawafundisha wakosaji njia zako,Na wenye dhambi watarejea kwako.

14. Ee MUNGU, Mungu wa wokovu wangu,Uniponye na damu za watu,Na ulimi wangu utaiimba haki yako.

Zab. 51