Zab. 50:4-6 Swahili Union Version (SUV)

4. Ataziita mbingu zilizo juu,Na nchi pia awahukumu watu wake.

5. Nikusanyieni wacha Mungu wanguWaliofanya agano nami kwa dhabihu.

6. Na mbingu zitatangaza haki yake,Kwa maana Mungu ndiye aliye hakimu.

Zab. 50