Zab. 50:19-22 Swahili Union Version (SUV)

19. Umekiachia kinywa chako kinene mabaya,Na ulimi wako watunga hila.

20. Umekaa na kumsengenya ndugu yako,Na mwana wa mama yako umemsingizia.

21. Ndivyo ulivyofanya, nami nikanyamaza;Ukadhani ya kuwa Mimi ni kama wewe.Walakini nitakukemea;Nitayapanga hayo mbele ya macho yako.

22. Yafahamuni hayo,Ninyi mnaomsahau Mungu,Nisije nikawararueni,Asipatikane mwenye kuwaponya.

Zab. 50