Zab. 5:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee BWANA, uyasikilize maneno yangu,Ukuangalie kutafakari kwangu.

2. Uisikie sauti ya kilio changu,Ee Mfalme wangu na Mungu wangu,Kwa maana Wewe ndiwe nikuombaye.

Zab. 5