Zab. 49:5-9 Swahili Union Version (SUV)

5. Kwa nini niogope siku za uovu,Ubaya ukinizunguka miguuni pangu?

6. Wa hao wanaozitumainia mali zao,Na kujisifia wingi wa utajiri wao;

7. Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake,Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,

8. (Maana fidia ya nafsi zao ina gharama,Wala hana budi kuiacha hata milele;)

9. ili aishi sikuzote asilione kaburi.

Zab. 49