Zab. 49:16-19 Swahili Union Version (SUV)

16. Usiogope mtu atakapopata utajiri,Na fahari ya nyumba yake itakapozidi.

17. Maana atakapokufa hatachukua cho chote;Utukufu wake hautashuka ukimfuata.

18. Ajapojibariki nafsi yake alipokuwa hai,Na watu watakusifu ukijitendea mema,

19. Atakwenda kwenye kizazi cha baba zakeHawataona nuru hata milele.

Zab. 49