Zab. 48:3-7 Swahili Union Version (SUV)

3. Mungu katika majumba yakeAmejijulisha kuwa ngome.

4. Maana, tazama, wafalme walikusanyika;Walipita wote pamoja.

5. Waliona, mara wakashangaa;Wakafadhaika na kukimbia.

6. Papo hapo tetemeko liliwashika,Utungu kama wa mwanamke azaaye.

7. Kwa upepo wa masharikiWavunja jahazi za Tarshishi.

Zab. 48