Zab. 46:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.

2. Kwa hiyo hatutaogopa ijapobadilika nchi,Ijapotetemeka milima moyoni mwa bahari.

Zab. 46