Zab. 40:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Nalimngoja BWANA kwa saburi,Akaniinamia akakisikia kilio changu.

2. Akanipandisha toka shimo la uharibifu,Toka udongo wa utelezi;Akaisimamisha miguu yangu mwambani,Akaziimarisha hatua zangu.

3. Akatia wimbo mpya kinywani mwangu,Ndio sifa zake Mungu wetu.Wengi wataona na kuogopa,Nao watamtumaini BWANA

Zab. 40