Zab. 37:13-15 Swahili Union Version (SUV)

13. BWANA atamcheka,Maana ameona kwamba siku yake inakuja.

14. Wasio haki wamefuta upanga na kupinda uta,Wamwangushe chini maskini na mhitaji,Na kuwaua wenye mwenendo wa unyofu.

15. Upanga wao utaingia mioyoni mwao wenyewe,Na nyuta zao zitavunjika.

Zab. 37