Zab. 32:5 Swahili Union Version (SUV)

Nalikujulisha dhambi yangu,Wala sikuuficha upotovu wangu.Nalisema, Nitayakiri maasi yangu kwa BWANA,Nawe ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu.

Zab. 32

Zab. 32:1-10